Breaking News

SEMINA YA FURSA UBUNGO PLAZA YAFANA KAMATA FURSA TWENZETU

Madam Rita Mkurugenzi wa Bench Mark Production na EBSS akizungumza kwene semina ya Fursa katika ukumbi wa Ubungo Plaza Alhamisi 21 November 2013 - KAMATA FURSA TWENZETU

Msemaji katika semina ya Fursa Ndugu Ahmed Lussasi, katika ukumbi wa Ubungo Plaza Dar es salaam Alhamisi 21 November 2013.

Mkuu wa Wilaya ya Iramba Mhe. Yahaya Nawanda.

Nikki Wa Pili msanii wa muziki wa kizazi kipya (Hip Hop).

Gerald Hando

Gerald Hando na Mbwiga Mbwiguke.

 

           Wahudhuriaji wa Semina ya Fursa katika ukumbi wa Ubungo Plaza siku ya Alhamisi 21 November 2013 - Kamata Fursa kisha Twenzetu!!…


How about this Article

No comments:

Leave a Reply