HITIMISHO LA SEMINA YA KAMATA FURSA ,TWENZETU
Tuesday, December 17, 2013 | Posted by Unknown
Leo ilikuwa ni hitimisho la semina ya Fursa,twenzetu iliyofanyika kwenye
ukumbi wa Diamond Jubilee,jijini Dar es Salaam Rais Dkt. Jakaya Mrisho
Kikwete alizungumza na Wadau mbali mbali walioshiriki kwenye Warsha ya
Kamata Fursa Twenzetu.Mh. Rais ameupongeza uongozi wa Kampuni ya Clouds
Media Group kwa ubunifu wao wa Kampeni ya Fusra inayowakutanisha na
kuwahamasisha vijana mbali mbali nchini kujituma na kufanya kazi ili
kutokomeza swala zima la ukosefu wa ajira
How about this Article
No comments: